Sharaja Ya Radio Jangwani

Posted on Posted in Uncategorized

WASICHANA kutoka Kaunti ya Marsabit wako na kila sababu ya kutabasamu baada ya aliyekuwa Miss Tourism 2013 kaunti ya Marsabit Bi Qabale Duba kutoa vitambaa vya kuzuia hedhi ama sodo kwa mpango mzima almarufu PAPA Project, Bi Qabale alisema kuwa hatua hiyo inatarajiwa kutoa suluhu kwa wasichana wengi ambao hukosa kuhudhuria masomo wakati wanapohudhuria hedhi kutokana na ukosefu wa sodo.

Bi Qabale pia alitaja maswala ya ukeketaji kuwa ni kinyume cha sheria na ni lazima kamwe usitendwe katika kaunti ya marsabit, Pia ni kinyume cha sheria kumsaidia mtu yeyote kufanya ukeketaji wa namna yoyote.

Qabale alisisitiza kuwa Wasichana wengi wamefariki kutokana na kupoteza damu au kwa ugonjwa wa kuambukizwa kutokana na utaratibu huu. Na kwa kina dada waliokeketwa wanaweza pia kupata matatizo wakati wa uzazi. Mkutano huo ulihudhuriwa na waakilishi wa vikundi mbali mbali ya akina kutoka jamii zote kumi na nne katika kaunti ya Marsabit.

One thought on “Sharaja Ya Radio Jangwani

  1. Qabale Duba Foundation is Bridging the Gap in communities of northern Kenya on matters related to girls/women empowerment. So we use women leaders to help us advocate for other women in the villages, our key programs are championing for girl child education, campaigning against harmful cultural practices like FGM and early marriages, advocating for peaceful consistence in northern Kenya using women and youths as peace agents and finally BREAKING THE SILENCE ON MENSTRUAL HEALTH. PAPA project is well known in Marsabit county, menstruation has been a shameful experiences among the pastoralist girls and women for ages. But QDF is here to donate PAPA and create awareness among the women of marsabit that, period should not let them fail to do their daily duties. On the other hand we are advocating that girl should never miss classes or even drop out of school due to lack of these basic necessities like PAPA.

    JOIN ME lets BREAK THE SILENCE

Leave a Reply to Qabale Duba Cancel reply

Your email address will not be published.